Bariadi Town Council is an administrative local government authority that serves as the headquarters of the Bariadi District and the capital of the Simiyu Region in Tanzania.
Halmashauri ya Mji Bariadi
2 Positions
Application Period
04/09/2026 - 16/09/2026
Duties and Responsibilities
- Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
- Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
- Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
- Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
- Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
- Kufanya usafi wa Gari;
Qualifications
Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS B
Bariadi Town Council is an autonomous urban local government authority that administers the city of Bariadi, the designated headquarters and political capital of the Simiyu Region in northern Tanzania. Established in 2012 when it officially split from the broader rural district council, the town council encompasses an expansive territory of approximately 747 square kilometers divided into ten specialized administrative wards.
Under the oversight of the President’s Office for Regional Administration and Local Government, the council coordinates all public affairs and community development for a rapidly growing population of over 260,000 residents recorded in the latest national census. Economically, the council serves as a vital financial and commercial core for the region, generating internal revenues of over four billion Tanzanian shillings annually and anchoring major regional banking networks that support regional agriculture and commerce.
In addition to handling town planning and waste management, the council directly funds and manages essential social infrastructure across the urban zone. This includes overseeing local education standards, administering primary healthcare services through institutions like the Somanda-based council hospital, and executing large-scale civic engineering upgrades like the Tanzania Cities Transforming Infrastructure and Competitiveness project.
- Location
- Simiyu
- Website
- bariaditc.go.tz/