Nsimbo District Council (NDC) is a local government authority in the Katavi Region of Tanzania's Southern Highlands. Established in 2012, it is situated east of Mpanda City. Governed by an Executive Director, the council focuses on agricultural development, forestry management, and improving local community health and infrastructure.
Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo
Vacancies: 5 | Latest closing: 08/06/2026
DEREVA DARAJA II (DRIVER II)
Posts: 5 | Closing: 08/06/2026 | Period: 26/05/2026 - 08/06/2026 | Scale: TGS B
Duties and Responsibilities
- Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
- Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
- Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
- Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
- Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
- Kufanya usafi wa Gari;
Qualifications
Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
The Nsimbo District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo) is a local government authority situated in the Katavi Region of southwestern Tanzania. It is responsible for local administration, public service delivery, and community development, particularly focusing on agricultural and economic initiatives like rice cultivation.
- Location
- Katavi
- Website
- nsimbodc.go.tz/