The total number of job posts listed here for the President's Office - Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance (Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar) is 6 posts in August 2026.
This electronic HR and payroll software management system recruitment targets network administration, system analysis, and full-stack software development for public service operations in Unguja.
| Job Title / Specialization | Posts |
| Msanifu wa Mfumo wa mbele (Frontend Developer) Daraja la II – Unguja | 2 |
| Msanifu wa Mfumo wa Ndani (Backend Developer) Daraja la II – Unguja | 2 |
| Msimamizi wa Mifumo ya Mtandao (Network Administrator) Daraja la II – Unguja | 1 |
| Mchambuzi wa Mifumo (System Analyst) Daraja la II – Unguja | 1 |
| TOTAL POSTS | 6 |
OFISI YA RAIS - KATIBA SHERIA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
Vacancies: 6 | Latest closing: Aug 16, 2026 Apply
Msimamizi wa Mifumo ya Mtandao ( Network Administrator) Daraja la II-UNGUJA
Posts: 1 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08
Duties and Responsibilities
- Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System);
- Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma;
- Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;)
- Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma;
- Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini;
- Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki;
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni.
Qualifications
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi.
Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki.
Msanifu wa Mfumo wa mbele ( Frontend Developer) Daraja la II-UNGUJA
Posts: 2 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08
Duties and Responsibilities
- Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System);
- Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma;
- Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;)
- Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma;
- Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini;
- Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki;
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni.
Qualifications
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi.
Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki.
Msanifu wa Mfumo wa Ndani ( Backend Developer) Daraja la II-UNGUJA
Posts: 2 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08
Duties and Responsibilities
- Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System);
- Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma;
- Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;)
- Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma;
- Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini;
- Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki;
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni.
Qualifications
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi.
Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki.
Mchambuzi wa Mifumo ( System Analyst) Daraja la II-UNGUJA
Posts: 1 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08
Duties and Responsibilities
- Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System);
- Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma;
- Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;)
- Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma;
- Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini;
- Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki;
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni.
Qualifications
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi.
Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki.
OR-KSUUB is the President's Office for Constitution, Legal Affairs, Public Service, and Good Governance (Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora) in the Revolutionary Government of Zanzibar. It manages public service, legal systems, governance, and official records.
- Location
- Zanzibar
- Website
- www.utumishismz.go.tz/