Nafasi za Kazi 40 Afisa Muuguzi Daraja La II (Assistant Nursing Officer II) Wizara ya Afya

Tanzania Full Time

Wizara ya Afya (Ministry of Health) is the Tanzanian government body mandated to formulate health policies, oversee preventive and curative services, manage medical supplies, and ensure the quality of food, drugs, and laboratory services. The Ministry is headquartered in Dodoma.

AFISA MUUGUZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER II)

Wizara ya Afya Tanzania

40 Positions

Application Period

09/07/2026 - 18/07/2026

Duties and Responsibilities

  • i. Kutoa huduma za uuguzi
  • ii. Kukusanya takwimu muhimu za afya.
  • iii. Kuwaelekeza kazi wauguzi walio chini yake
  • iv. Kuelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya
  • v. Kutoa huduma za kinga na uzazi
  • vi. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake

Qualifications

Kuajiriwa wahitimu wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi, kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania.

Remuneration

TGHS B (MOH)

Get in touch

Email
[email protected]
Phone
+255262323267