Nafasi za Kazi 9 Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

Tanga Full Time

The total number of job posts listed here for the Pangani District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Pangani) is 9 posts in July 2026.

This public service deployment targets foundational administrative efficiency and fleet operational support within the local government authority.

Job Title Posts
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II (Office Management Secretary Grade II) 5
Dereva Daraja II (Driver Grade II) 4
TOTAL POSTS 9

MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

5 Positions

Application Period

10/07/2026 - 23/07/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
  2. Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
  3. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
  4. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  5. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  6. .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  7. Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
  8. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS C

DEREVA DARAJA II (DRIVER II)

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

4 Positions

Application Period

10/07/2026 - 23/07/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  2. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  4. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  5. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
  6. Kufanya usafi wa Gari;

Qualifications

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS B

Get in touch

Email
[email protected]