The total number of job posts listed here for the Vocational Training Authority Zanzibar (Mamlaka ya Mafunzo ya Amali) VTA is 9 posts in May 2026.
| Job Title | Posts |
| Mkufunzi wa Ujasiriamali Daraja la II - Unguja (Entrepreneurship Instructor Grade II) | 1 |
| Mkufunzi Ujasiriamali Daraja la II - Pemba (Entrepreneurship Instructor Grade II) | 1 |
| Mkufunzi wa Useremala Darala la III - Pemba (Carpentry Instructor Grade III) | 1 |
| Mpishi wa Dakhalia Daraja la III - Unguja (Hostel Cook Grade III) | 1 |
| Mkufunzi wa ICT - Unguja (ICT Instructor) | 1 |
| Mkufunzi wa Ufundi Bomba la II - Pemba (Plumbing Instructor Grade II) | 1 |
| Mkufunzi wa Uvuvi Daraja la III - Pemba (Fishing Instructor Grade III) | 1 |
| Mwalimu wa Ushoni Daraja la III - Pemba (Tailoring Teacher Grade III) | 1 |
| Mwalimu wa Ushoni Daraja la III - Unguja (Tailoring Teacher Grade III) | 1 |
| TOTAL POSTS | 9 |
MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI
Vacancies: 9 | Latest closing: May 29, 2026 Apply
MKUFUNZI WA UJASIRIAMALI DARAJA LA II-UNGUJA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH -08
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti.
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika.
- Kutayarisha na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na Semina mbali mbali pale inapohitajika,
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise)
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza ya Ujasiriamali, biashara, uchumi na fedha kutoka katika Chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MKUFUNZI UJASIRIAMALI DARAJA LA II NAFASI -PEMBA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH -06
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti.
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika.
- Kutayarisha na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na Semina mbali mbali pale inapohitajika,
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise)
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu shahada ya kwanza ya Ujasiriamali, biashara, uchumi na fedha kutoka katika Chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MKUFUNZI WA USEREMALA DARALA LA III NAFASI I-PEMBA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSF-06
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya cheti kuanzia Level I hadi level II
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work ) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika na kutayarisha “Lesson Plan “ , Daily record notes na Assessment record.
- Kuziweka mashine na vifaa vya kujifunzia katika mazingira salama baada ya kumaliza matumizi.
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbali mbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kutayarisha visaidizi vya Mwalimu (Teaching and Learning materials/ teaching adds.
- Kushiriki kazi za Vitendo za Darasani ( Teaching Practise and Students Projects)
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe na Stashahada ya Uhandisi Majengo (Civil Engineering) /Ufundi Useremala au fani inayolingana na kazi hii.
Awe ni Mzazibar na umri usiozidi miaka 45.
Awe na Uzoefu wa kutengeneza samani mbali mbali na kuongeza thamani.
MPISHI WA DAKHALIA DARAJA LA III NAFASI I -UNGUJA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSE-03
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kuandaa matayarisho ya Chakula kwa ajili ya kupikwa.
- Kuhakikisha Chakula kinachotakiwa kupikwa kimetimia kabla ya kuanza kupikwa.
- Kuweka mazingira safi na salama kwa ajili ya kutunza afya ya walaji.
- Kufanya usafi wa jiko, vyombo na vifaa vya kupikia mara baada ya kumaliza kupika.
- Kufanya kazi nyengine zinazoendana na majukumu yake ya kazi kama takazopangiwa na mkuu wa kazi.
- SIFA ZA KIELIMU
- Certificate in Food and Production,
- Certificate in Food Production and Bakery
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu elimu ya cheti katika fani ya mapishi kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Au
Awe na Elimu ya upishi NVA Level III kutoka mamlaka ya Mafunzo ya Amali au VETA.
Awe na uzoefu na ujuzi wa kupika chakula cha Shughuli (chakula kingi kwa pamoja).
MKUFUNZI WA ICT-UNGUJA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH-08
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti.
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika.
- Kutayarisha na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na Semina mbali mbali pale inapohitajika,
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise),
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni mzanzibar asiepungua umri wa miaka 45,
Awe na elimu ya Shahada ya kwanza katika fani na TEHEMA kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MKUFUNZI WA UFUNDI BOMBA LA II NAFASI I -PEMBA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH -08
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti.
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika.
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise)
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu Shahada ya kwanza katika fani ya Uhandisi Majengo, Ufundi bomba au fani yoyote inayolingana na kazi hii.
Awe na ujuzi na uzoefu wa kazi ya ufundi bomba ikiwemo uelewa wa mifumo ya mambomba na maji pamoja na uelewa wa vifaa na shinikizo la maji.
MKUFUNZI WA UVUVI DARAJA LA III NAFASI -I -PEMBA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSF-06
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti kuanzia Level I hadi level II
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha ( Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika na kutayarisha “Lesson Plan”, Daily record”, Lesson Notes” na Assesment records.
- Kutafuta na kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na Vyuo husika.
- Kutayarisha visaidizi vya mwalimu ( Teaching and learning materials /teaching adds)
- Kushiriki mafunzo ya vitendo (Teaching Practise and Students Projects)
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe na Stashahada katika fani ya Uvuvi na mazao ya Baharini.
Awe na ujuzi na uzoefu wa hali ya juu katika shughuli za uvuvi, urambazaji, na taaluma ya baharini pamoja na kilimo cha mazao ya baharini au Elimu inayolingana
MWALIMU WA USHONI DARAJA LA III-PEMBA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH-08
Duties and Responsibilities
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti,
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka.
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise),
- Kuweka vifaa na mashine za kujifunzia katika mazingira mazuri na salama.
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu elimu ya Diploma au cheti cha ubunifu na ushonaji nguo kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.au
Awe na Diploma ya elimu ya Secondari pamoja na cheti cha Ushoni kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Awe na ujuzi na uzoefu wa kushona nguo za aina yote.
MWALIMU WA USHONI DARAJA LA III -UNGUJA
Posts: 1 | Closing: May 29, 2026 Apply | Period: 23/05/2026 - 29/05/2026 | Scale: ZPSH-08
Duties and Responsibilities
- MAJUKUMU YA KAZI
- Kufundisha katika ngazi ya Cheti,
- Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka.
- Kutafuta na Kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
- Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise),
- Kuweka vifaa na mashine za kujifunzia katika mazingira mazuri na salama.
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45
Awe amehitimu elimu ya Diploma au cheti cha ubunifu na ushonaji nguo kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.au
Awe na Diploma ya elimu ya Secondari pamoja na cheti cha Ushoni kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Awe na ujuzi na uzoefu wa kushona nguo za aina yote.
The Vocational Training Authority (VTA) in Zanzibar is the primary parastatal organization under the Ministry of Education and Vocational Training responsible for regulating, coordinating, and funding vocational and technical education. It ensures training centers meet quality standards, trains a skilled workforce, and oversees curricula across the region.
- Location
- Zanzibar
- Website
- www.zvta.go.tz/