Nafasi za Kazi 44 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Job Role Insights
-
Date posted
2026-07-18
-
Closing date
2026-07-31
-
Hiring location
Tanzania
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Certificate Degree Diploma High School Certificate Secondary Education Vocational / Technical
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
1 person
-
Gender
both
-
Job ID
138621
Job Description
The total number of job posts listed here for the Ministry of Education, Science and Technology (Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia) is 44 posts in July 2026.
The precise departmental entry allocations across these vocational disciplines confirm a cumulative total of 44 teaching positions to strengthen community development and technical skills colleges across the country.
| Job Title / Specialization | Posts |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Uchomeleaji na Utengenezaji wa Vyuma (Welding and Metal Fabrication) | 13 |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Ushonaji na Ubunifu wa Mitindo (Tailoring and Fashion Design) | 10 |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Useremala (Carpentry and Joinery) | 9 |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Uhazili (Secretarial Studies) | 5 |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Magari (Motor Vehicle Mechanics) | 5 |
| Mkufunzi Msaidizi Maendeleo ya Jamii II – Uandaaji wa Chakula (Food Production) | 2 |
| TOTAL POSTS | 44 |
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Vacancies: 6 | Latest closing: 31/07/2026
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UHAZILI (SECRETARIAL STUDIES)
Posts: 5 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo; iii. Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia;
- Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam;
- Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya uhazili (Secretarial Studies) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – USEREMALA (CARPENTRY AND JOINERY)
Posts: 9 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam;
- Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani; ix. Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya Useremala (carpentry and Joinery) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II- MAGARI(MOTOR VEHICLE MECHANICS)
Posts: 5 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- i. Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo;
- ii. Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
- iii. Kusimamia masomo ya vitendo;
- iv. Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
- v. Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
- vi. Kuandaa muhtasari wa masomo;
- vii. Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo;
- viii. Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
- ix. Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
- x. Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada katika fani ufundi wa Magari kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UANDAAJI WA CHAKULA (FOOD PRODUCTION)
Posts: 2 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam; vii. Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali;
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya ‘’Food Production’’ kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UCHOMELEAJI NA UTENGENEZAJI WA VYUMA (WELDING AND METAL FABRICATION)
Posts: 13 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo; iv. Kutunza vifaa vya kufundishia;
- Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam;
- Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani; ix. Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya Uchomeleaji na Utengenezaji wa Vyuma (Welding and Metal Fabrication) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – USHONAJI NA UBUNIFU WA MITINDO (TAILORING AND FASHION DESIGN)
Posts: 10 | Closing: 31/07/2026 | Period: 18/07/2026 - 31/07/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam; vii. Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya ushonaji na ubunifu mitindo (Tailoring and Fashion Design) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
Interested in this job?
13 days left to apply
