Nafasi za Kazi 1086 MDAs & LGAs February 2026

Job Role Insights

  • Date posted

    2026-02-13

  • Closing date

    2026-02-27

  • Hiring location

    Dodoma

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree Master’s Degree

  • Experience

    3 - 5 Years

  • Quantity

    10 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    128068

Job Description

MDAs (Ministries, Departments, and Agencies) and LGAs (Local Government Authorities) in Tanzania represent the two-tier structure of public administration. MDAs operate nationally, formulating policies and regulations, while LGAs operate at regional/local levels to implement these policies and deliver essential community services like health, education, and infrastructure.

The total number of job posts listed here for the MDAs & LGAs (Healthcare Batch) is 1,086 posts in February 2026.

Job TitlePosts
1.0 Dental Surgeon Grade II65
2.0 Dental Therapist Grade II30
3.0 Clinical Assistant II90
4.0 Assistant Nursing Officer II100
5.0 Nursing Officer II100
6.0 Medical Specialist - Gynaecologist II17
7.0 Assistant Environmental Health Officer II172
8.0 Physiotherapist II39
9.0 Biomedical Engineer II31
10.0 Medical Officer Grade II492
TOTAL POSTS1,086

DAKTARI WA UPASUAJI WA KINYWA NA MENO II (DENTAL SURGEON GRADE II)

MDAs & LGAs

65 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa ya kinywa na meno.
  2. Kutoa na kusimamia elimu ya afya ya kinywa na meno.
  3. Kuboresha afya ya kinywa na meno katika eneo lake la kazi na jamii.
  4. Kuziba/kukarabati meno, upasuaji, utengenezaji wa meno, kurekebisha mataya (orthodontics).
  5. Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.
  6. Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa.
  7. Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyopo eneo lake la kazi.
  8. Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo.
  9. Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake.
  10. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya ya kinywa na meno.
  11. Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya.
  12. Kutoa huduma za outreach katika wilaya/mkoa wake.
  13. Kutunza takwimu na kuzitumia kama inavyoelekezwa katika misingi ya MTUHA.
  14. Kupanga na kutathimini huduma za afya ya kinywa na meno katika eneo la kazi.
  15. Kufanya utafiti katika maeneo mbali mbali ya afya ya kinywa na meno.
  16. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

Kuajiriwa wenye shahada ya udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali waliomaliza “Internship” na kusajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika.

Remuneration

TGHS E

TABIBU WA KINYWA NA MENO DARAJA LA II (DENTAL THERAPIST GRADE II)

MDAs & LGAs

30 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kazi zote zinazofanywa na Tabibu Msaidizi.
  2. Kutambua na kutibu magonjwa ya kawaida.
  3. Kusimamia utendaji wa watumishi walio chini yake na kufanya upasuaji mdogo.
  4. Kushiriki katika kupanga na kutekeleza Huduma za Afya Msingi.
  5. Kushauri na kuhamasisha wananchi kuchangia huduma za Afya za Mfuko wa Afya ya Jamii.
  6. Kuweka kumbukumbu za vifaa na zana za kutolea huduma.
  7. Kuweka kumbukumbu, kuandaa na kutoa taarifa za utekelezaji.
  8. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi

Qualifications

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Tabibu wa Meno (Diploma in Clinical Dentistry) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, pia awe amesajiliwa na Baraza la Madaktari.

Remuneration

TGHS B

TABIBU MSAIDIZI DARAJA LA II(CLINICAL ASSISTANT II)

MDAs & LGAs

90 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kutoa huduma za kinga na tiba
  2. Kutambua na kutibu magonjwa
  3. Kutoa huduma ya Afya ya msingi (Primary Health Care)
  4. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

Kuajiriwa wahitimu wenye Cheti cha Kidato cha IV ambao wamehitimu Mafunzo ya Miaka Miwili ya Tabibu Wasaidizi (Clinical Assistants Certificate).

Remuneration

TGHS A

AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II – ASSISTANT NURSING OFFICER II

MDAs & LGAs

100 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kutoa huduma za uuguzi.
  2. Kukusanya takwimu muhimu za afya.
  3. Kuwaelekeza kazi wauguzi walio chini yake.
  4. Kuelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya.
  5. Kutoa huduma za kinga na uzazi.
  6. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

Kuajiriwa wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi, ya muda usiopungua miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania

Remuneration

TGHS-B

AFISA MUUGUZI DARAJA LA II (NURSING OFFICER II) MDAs & LGAs

50 Positions Application Period 13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  • Kufanya kazi za kiuguzi za kuhudumia wateja katika jamii, hospitali na sehemu zote zinapotolewa huduma za afya;
  • Kukusanya takwimu muhimu za afya;
  • Kuwaelekeza na kusimamia wauguzi walio chini yake;
  • Kutoa huduma kwa wagonjwa majumbani;
  • Kutoa ushauri nasaha;
  • Kutayarisha mpango wa kazi kwa ajili ya huduma za uuguzi;
  • Kutoa huduma za kinga na uzazi;
  • Kuelimisha wagonjwa na jamii;
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications Kuajiriwa Wahitimu wenye Shahada ya Uuguzi kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali, waliohitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania.

Remuneration TGHS C

AFISA MUUGUZI DARAJA LA II (NURSING OFFICER II)

Mwajiri: MDAs & LGAs Idadi ya Nafasi: 50 Muda wa Maombi: 13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  • Kufanya kazi za kiuguzi za kuhudumia wateja katika jamii, hospitali na sehemu zote zinapotolewa huduma za afya;
  • Kukusanya takwimu muhimu za afya;
  • Kuwaelekeza na kusimamia wauguzi walio chini yake;
  • Kutoa huduma kwa wagonjwa majumbani;
  • Kutoa ushauri nasaha;
  • Kutayarisha mpango wa kazi kwa ajili ya huduma za uuguzi;
  • Kutoa huduma za kinga na uzazi;
  • Kuelimisha wagonjwa na jamii;
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

  • Kuajiriwa Wahitimu wenye Shahada ya Uuguzi kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali, waliohitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania.

Remuneration

  • TGHS C

DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA AKINA MAMA DARAJA LA II ( MEDICAL SPECIALIST - GYNAECOLOGIST II)

MDAs & LGAs

17 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa mbalimbali katika fani husika;
  2. Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyo eneo lake la kazi;
  3. Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa;
  4. Kutayarisha elimu ya kujiendeleza ya watumishi wa afya;
  5. Kufundisha na kuelekeza watumishi walio chini yake;
  6. Kusimamia wafanyakazi walio chini yake Kubuni;
  7. kuendesha na kutathimini utafiti na kusambaza matokeo;
  8. Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake;
  9. Kutoa huduma za outreach katika kanda;
  10. Kutoa huduma za medical legal;
  11. Kushiriki katika kutengeneza na kusimamia utekelezaji wa Sera na Mipango ya Serikali juu ya afya;
  12. Kushauri wizara kuhusu uendeshaji wa shughuli za afya nchini;
  13. Kushiriki katika kamati ya jopo la madaktari (medical board) kwa ajili ya 2 kustaafisha wafanyakazi kwa matatizo ya kiafya;
  14. Kutayarisha mitaala ya elimu ya kujiendeleza ya watumishi wa afya;
  15. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya.

Qualifications

Kuajiriwa wenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari Bingwa au PhD kwenye fani ya Udaktari wa magonjwa ya akina mama kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika.

Remuneration

TGHS G

AFISA AFYA MAZINGIRA MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT ENVIRONMENTALHEALTH OFFICER GRADE II)

MDAs & LGAs

172 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kudhibiti na kuzuia milipuko ya magonjwa;
  2. Kupambana na kuzuia wadudu na wanyama wanaoeneza magonjwa;
  3. Kusimamia uzikaji wa maiti zisizotambuliwa na zile zinazotokana na magonjwa ya kuambukiza;
  4. Kuandaa taarifa mbali mbali za Afya ya Mazingira katika ngazi ya kata na kuziwasilisha katika mamlaka husika;
  5. Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira, katika kata na kutoa mrejesho ili kuchukua hatua zinazostahili;
  6. Kutoa elimu ya afya ya mazingira kwa jamii;
  7. Kukagua mazingira katika sehemu zinapotengenezwa vyakula ili kuhakikisha usalama na afya ya jamii;
  8. Kusimamia sheria za afya ya mazingira katika ngazi ya Kata pamoja na kusaidia jamii katika kutengeneza sheria ndogondogo;
  9. Kuhamasisha jamii katika kuboresha vyanzo vya maji na Usafi wa Mazingira;
  10. Kuhamasisha jamii kuhusu utekelezaji wa Huduma za Afya ya Msingi katika ngazi ya Kata; na
  11. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na wawe amesajiliwa na Bodi ya Wataalamu wa Afya Mazingira.

Remuneration

TGHS B

FIZIOTHERAPIA DARAJA LA II (PHYSIOTHERAPIST II)

MDAs & LGAs

39 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kutoa tiba kwa kuzoeza viungo/ kwa vitendo.
  2. Kukusanya na kutunza takwimu na taarifa za mgonjwa.
  3. Kutunza vifaa vya Idara.
  4. Kutoa elimu ya Afya kwa jamii kuhusu kutambua dalili na kuzuia ulemavu.
  5. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Fiziotherapia kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali na kusajiliwa kwa usajili wa kudumu (Full Registration Practitioners) na Baraza la Madaktari Tanganyika.

Remuneration

TGHS-B

MHANDISI VIFAA TIBA DARAJA LA II (BIOMEDICAL ENGINEER II)

MDAs & LGAs

31 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kufanya kazi za matengenezo ya vifaa tiba ngazi ya Wilaya (Electronical Equipments).
  2. Kutunza kumbukumbu za kazi za ufundi na matengenezo ya vifaa tiba.
  3. Kufanya matengenezo ya kinga ya vifaa tiba.
  4. Kuagiza vipuli vya vifaa tiba.
  5. Kuandaa bajeti ya huduma za matengenezo ya vifaa tiba ngazi ya wilaya.
  6. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Qualifications

Kuajiriwa waliohitimu wenye Shahada ya Sayansi ya Uhandisi (Vifaa Tiba) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na ambao wamesajiliwa na Bodi ya Wahandisi Tanzania. 

Remuneration

TGHS D

DAKTARI DARAJA LA II (MEDICAL OFFICER GRADE II)

MDAs & LGAs

492 Positions

Application Period

13/02/2026 - 27/02/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya watoto, magonjwa ya akina mama na upasuaji wa kawaida na wa dharura.
  2. Kutoa na kusimamia elimu ya afya pamoja na kuboresha afya ya jamii katika Wilaya na Mikoa au eneo lake la kazi.
  3. Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa.
  4. Kutunza takwimu na kuzitumia kama inavyoelekezwa katika misingi ya MTUHA.
  5. Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.
  6. Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.
  7. Kusimamia na kuelekeza wafanyakazi walio chini yake.
  8. Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo.
  9. Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake.
  10. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya.
  11. Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality   improvement).

Qualifications

Kuajiriwa wenye Shahada ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali waliomaliza “Internship” na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

Remuneration

TGHS E

Interested in this job?

14 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel