Nafasi za Kazi 9 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
Job Role Insights
-
Date posted
2026-02-09
-
Closing date
2026-02-20
-
Hiring location
Kilimanjaro
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
9 person
-
Gender
both
-
Job ID
127632
Job Description
Mwanga District Council is a local government authority in Tanzania's Kilimanjaro Region, responsible for administering the district, including managing local by-laws, public services, and infrastructure. It operates as a rural district council, overseeing areas often characterized by hilly terrain, farming, and proximity to major transport routes between Dar es Salaam and Arusha.
The total number of job posts listed here for the Mwanga District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga) is 9 posts in February 2026.
| Job Title | Posts |
| 1.0 Office Management Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) | 4 |
| 2.0 Driver II (DEREVA II) | 5 |
| TOTAL POSTS | 9 |
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
4 Positions
Application Period
07/02/2026 - 20/02/2026
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za Siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiliza shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa maofisa walio katika Idara / Kitengo/ Sehemu husika, Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya Ofisi;
- Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa mwenye Elimu ya Kidato cha Nne au Sita mwenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA Level 6 ya Uhazili. Aidha, awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno100 kwa dakika moja na kupata program za Kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powerpoint, internet, email na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS C
DEREVA II
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
5 Positions
Application Period
07/02/2026 - 20/02/2026
Duties and Responsibilities
- Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
- Kuwapeleka watumishi maeneo mbali mbali kwenye safari za kikazi;
- Kufanya matengenezo madogomadogo ya gari;
- Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
- Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
- Kufanya usafi wa gari;
- Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na msimamizi wake.
Qualifications
Kuajiriwa wenye elimu ya kidato cha Nne (Form IV) na leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali,pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na vyuo vyovyote vinavyotambuliwa na serikali.
Remuneration
TGS B
Interested in this job?
10 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job
