
Nasri Ubegete Koo Saa
About me
Naitwa Nasri Ubegete, fundi umeme mwenye uzoefu na uaminifu. Natoa huduma za:
- Kufunga umeme mpya majumbani na kwenye biashara
- Kukarabati hitilafu za umeme
- Ufungaji wa taa, socket, swichi na vifaa vingine
- Kuunganisha umeme mpya kutoka TANESCO
Napatikana Mbagala, Dar es Salaam
Huduma zangu ni za haraka, bora na kwa bei nafuu.
Wasiliana nami kwa Simu au WhatsApp: 0654 619 161