Winfrida Mbembe
About me
Mwandishi wa Habari na Mtangazaji mwenye uzoefu wa miaka 10+ kwenye Radio na TV. Mhitimu wa Certificate in Journalism & Mass Communication kutoka Dar es Salaam City College – DACICO. Nimefanya kazi Dacco FM, Radio Jamii FM, Radio Kilombero FM na kwa sasa Ruaha TV kama Mwandishi wa Habari. Nina uwezo wa kuandika habari kwa Kiswahili safi, kufanya mahojiano, kuandaa script za vipindi na kuunda content za digital kwa CapCut/Canva. Nina shauku kubwa ya habari za michezo hasa NBC Ligi Kuu Tanzania. Niko tayari kufanya kazi kwa bidii na kuanza mara moja.
