
POST: MHASIBU DARAJA LA II (ACCOUNTANT II) – 20 POST
Job Role Insights
-
Date posted
2025-04-28
-
Closing date
2025-05-12
-
Hiring location
Tanzania
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Degree High School Certificate
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
10 person
-
Gender
both
Job Description
POST: MHASIBU DARAJA LA II (ACCOUNTANT II),. - 20 POST
EMPLOYER: MDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:: 2025-04-28 2025-05-11
JOB SUMMARY: NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
- i.Kuandika taarifa ya mapato na matumizi
- ii.Kuandika taarifa za maduhuli
- iii.Kupokea maduhuli ya serikali na kupeleka Benki kwa wakati
- iv.Kufanya usuluhisho wa hesabu za Benki na nyingine zinazohusiana na masuala ya fedha
- v.Kukagua hati za malipo
- na vi.Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Sita wenye shahada ya Uhasibu au Biashara waliojiimarisha kwenye fani ya Uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu kutoka Taasisi inayotambuliwa na Serikali pamoja na cheti cha Taaaluma ya Uhasibu CPA(T) au sifa inayolingananayo inayotambuliwa na NBAA.
REMUNERATION: TGS.E
Interested in this job?
11 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job