Job Role Insights

  • Date posted

    2025-05-22

  • Closing date

    2025-06-02

  • Hiring location

    Tanzania

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Advanced Diploma Diploma Secondary Education

  • Experience

    1 - 2 Years

  • Quantity

    1 person

  • Gender

    both

Job Description

POST: KATIBU WA SHERIA MSAIDIZI DARAJA LA II - 20 POST

EMPLOYER: Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS)

APPLICATION TIMELINE:: 2025-05-21 2025-06-01

JOB SUMMARY: NIL

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

  • Kupokea nakala za kumbukumbu za Mahakama (Court Records) kuhusu kesi za Jinai, Rufani za kesi za Jinai, Kesi za jinai zinazohitajika kusahihishwa na Mahakama Kuu na kesi za madai
  • Kupokea na kuhifadhi majalada ya polisi (Police case files) na nakala za hukumu za Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
  • Kuandika orodha ya kesi za kusikilizwa katika Mahakama za Wilaya, Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani
  • Kusambaza hati za Kisheria (Legal Documents) katika Mahakama za Wilaya na Mahakama Kuu
  •  Kutengeneza Fahirisi (Index) za Sheria za Tanzania
  • Kuhifadhi majarida ya Sheria (Law Periodicals) na Sheria zilizorekebishwa, Miswada ya Taarifa za Kawaida za Serikali. vii.  Kufungua mafaili mapya ya kesi kama itakavyoelekezwa na msimamizi wake

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa Wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye Stashahada ya Sheria (Diploma) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION: AGCS. 2

Interested in this job?

10 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel