Nafasi za Kazi 27 Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

Job Role Insights

  • Date posted

    2026-01-05

  • Closing date

    2026-01-16

  • Hiring location

    Tanga

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree Certificate Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical

  • Experience

    1 - 2 Years

  • Quantity

    10 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    126523

Job Description

Handeni District Council is a rural local government authority in the Tanga Region of Tanzania, with its capital in Mkata. As the largest district in the region (6,534), it governs development for a population of 384,353 (2022 census), distinct from the separate Handeni Town Council. 

The total number of job posts listed here for the Handeni District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Handeni) is 27 posts in January 2026.

Job TitlePosts
1.0 Office Management Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II)6
2.0 Driver II (DEREVA DARAJA II)13
3.0 Records Management Assistant II (MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II)8
TOTAL POSTS27

MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

6 Positions

Application Period

03/01/2026 - 16/01/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
  2. Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
  3. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
  4. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  5. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  6. .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  7. Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
  8. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS C

DEREVA DARAJA II (DRIVER II)

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

13 Positions

Application Period

03/01/2026 - 16/01/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  2. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  4. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  5. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
  6. Kufanya usafi wa Gari;

Qualifications

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS B

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II)

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

8 Positions

Application Period

03/01/2026 - 16/01/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
  2. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
  3. Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
  4. Kupokea majalada  kwa Watendaji (action officers)
  5. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
  6. Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
  7. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)

Qualifications

Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Utunzaji Kumbukumbu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

Remuneration

TGS C

Interested in this job?

9 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel