Job Role Insights

  • Date posted

    2025-11-16

  • Closing date

    2025-11-28

  • Hiring location

    Kagera

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree Certificate Degree Diploma High School Certificate Vocational / Technical

  • Experience

    1 - 2 Years

  • Quantity

    1 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    125232

Job Description

The total number of job posts listed here for the Biharamulo District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo) is 4 posts in November 2025.

Job TitlePosts
1.0 Office Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II)1
2.0 Driver Grade II (DEREVA DARAJA II)3
TOTAL POSTS4

MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II

Nafasi: 1

Muda wa Maombi: 14/11/2025 - 28/11/2025

Majukumu na Wajibu

  • Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
  • Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;
  • Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
  • Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  • Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  • Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  • Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
  • Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
  • Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Sifa za Mwombaji (Qualifications)

  • Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six).
  • Wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili.
  • Awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 100 kwa dakika moja.
  • Amepata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Mshahara (Remuneration)

  • TGS.C

DEREVA DARAJA II

Nafasi: 3

Muda wa Maombi: 14/11/2025 - 28/11/2025

Majukumu na Wajibu

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  • Kufanya usafi wa gari; na
  • Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

Sifa za Mwombaji (Qualifications)

  • Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV).
  • Awe na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Mshahara (Remuneration)

  • TGS B

Interested in this job?

12 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel