Nafasi za Kazi 6 Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

Job Role Insights

  • Date posted

    2026-01-06

  • Closing date

    2026-01-18

  • Hiring location

    Kigoma

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Certificate Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical

  • Experience

    2 Years

  • Quantity

    6 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    126573

Job Description

Kigoma District Council is a local government body in Tanzania's Kigoma Region, responsible for governing the rural areas of the district, managing local development, and providing essential services, operating under the broader Kigoma Regional Administration and its various councils, including the separate Kigoma/Ujiji Municipality.

The total number of job posts listed here for the Kigoma District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma) is 6 posts in January 2026.

Job TitlePosts
1.0 Driver II (DEREVA DARAJA II)3
2.0 Office Management Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II)3
TOTAL POSTS6

DEREVA DARAJA II (DRIVER II)

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

3 Positions

Application Period

05/01/2026 - 18/01/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  2. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  4. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  5. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
  6. Kufanya usafi wa Gari;

Qualifications

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS B

MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

3 Positions

Application Period

05/01/2026 - 18/01/2026

Duties and Responsibilities

  1. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
  2. Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
  3. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
  4. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  5. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  6. .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  7. Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
  8. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration

TGS C

Interested in this job?

10 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel