Job Role Insights

  • Date posted

    2026-08-05

  • Closing date

    2026-08-18

  • Hiring location

    Manyara

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree Certificate Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical

  • Experience

    1 - 2 Years

  • Quantity

    7 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    140385

Job Description

The total number of job posts listed here for the Mbulu Town Council (Halmashauri ya Mji Mbulu - MTC) is 7 posts in August 2026.

This local government recruitment targets official secretarial services and driving operations across town council departments.

Job Title / SpecializationPosts
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II (Office Management Secretary Grade II)5
Dereva Daraja II (Driver II)2
TOTAL POSTS7

Halmashauri ya Mji Mbulu

Vacancies: 7  |  Latest closing: 19/08/2026

DEREVA DARAJA II (DRIVER II)

Posts: 2  |  Closing: 19/08/2026  |  Period: 05/08/2026 - 19/08/2026  |  Scale: TGS B

Duties and Responsibilities

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  • Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
  • Kufanya usafi wa Gari;

Qualifications

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Apply for this position


MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)

Posts: 5  |  Closing: 19/08/2026  |  Period: 05/08/2026 - 19/08/2026  |  Scale: TGS C

Duties and Responsibilities

  • Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
  • Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
  • Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
  • Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  • Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  • .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  • Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
  • Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Apply for this position

Interested in this job?

13 days left to apply

Apply now

Your job search, in your pocket

Get the ZoomTanzania Jobs app - apply on the go, get instant job alerts, and chat with our AI assistant anytime, anywhere.

How to Apply

Apply now