Nafasi za Kazi 7 Halmashauri ya Mji Mbulu
Job Role Insights
-
Date posted
2026-08-05
-
Closing date
2026-08-18
-
Hiring location
Manyara
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Certificate Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
7 person
-
Gender
both
-
Job ID
140385
Job Description
The total number of job posts listed here for the Mbulu Town Council (Halmashauri ya Mji Mbulu - MTC) is 7 posts in August 2026.
This local government recruitment targets official secretarial services and driving operations across town council departments.
| Job Title / Specialization | Posts |
| Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II (Office Management Secretary Grade II) | 5 |
| Dereva Daraja II (Driver II) | 2 |
| TOTAL POSTS | 7 |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Vacancies: 7 | Latest closing: 19/08/2026
DEREVA DARAJA II (DRIVER II)
Posts: 2 | Closing: 19/08/2026 | Period: 05/08/2026 - 19/08/2026 | Scale: TGS B
Duties and Responsibilities
- Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
- Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
- Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
- Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
- Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
- Kufanya usafi wa Gari;
Qualifications
Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)
Posts: 5 | Closing: 19/08/2026 | Period: 05/08/2026 - 19/08/2026 | Scale: TGS C
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Interested in this job?
13 days left to apply
