Nafasi za Kazi 8 Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa
Job Role Insights
-
Date posted
2026-01-17
-
Closing date
2026-01-29
-
Hiring location
Mwanza
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree
-
Experience
2 Years
-
Quantity
8 person
-
Gender
both
-
Job ID
127002
Job Description
Buchosa District Council is a local government authority in Tanzania, established in 2015, responsible for administration, service delivery (like water, health, education), and development in the Buchosa area, which is largely situated on Lake Victoria, governing numerous wards, villages, and islands with a focus on local governance and socio-economic welfare. It operates under the Tanzanian government's regional and local administration system (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI) and is led by elected councilors who manage district affairs.
The total number of job posts listed here for the Buchosa District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa) is 8 posts in January 2026.
| Job Title | Posts |
| 1.0 Driver II (DEREVA DARAJA II) | 2 |
| 2.0 Office Management Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) | 1 |
| 3.0 Records Management Assistant II (MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II) | 5 |
| TOTAL POSTS | 8 |
DEREVA DARAJA II (DRIVER II)
Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa
2 Positions
Application Period
16/01/2026 - 29/01/2026
Duties and Responsibilities
- Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
- Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
- Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
- Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
- Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali; na
- Kufanya usafi wa Gari;
Qualifications
Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS B
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)
Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa
1 Position
Application Period
16/01/2026 - 29/01/2026
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- .Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS C
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II)
Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa
5 Positions
Application Period
16/01/2026 - 29/01/2026
Duties and Responsibilities
- Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
- Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
- Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
- Kupokea majalada kwa Watendaji (action officers)
- Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
- Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
- Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)
Qualifications
Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Utunzaji Kumbukumbu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.
Remuneration
TGS C
Interested in this job?
11 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job
