Nafasi za Kazi 16 Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo
Job Role Insights
-
Date posted
2025-12-01
-
Closing date
2025-12-15
-
Hiring location
Iringa
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Certificate Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
1 person
-
Gender
both
-
Job ID
125808
Job Description
Kilolo District Council is the local government authority for the Kilolo District in the Iringa Region of Tanzania. Its responsibilities include promoting the social and economic well-being of its community, providing services, and planning for local development.
The total number of job posts listed here for the Kilolo District Council (Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo) is 16 posts in December 2025.
| Job Title | Posts |
| 1.0 Office Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) | 8 |
| 2.0 Office Secretary Grade II (MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) | 8 |
| TOTAL POSTS | 16 |
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo
8 Positions
Application Period
01/12/2025 - 14/12/2025
Duties and Responsibilities
- i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- ii. Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;
- iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- vi. Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
- ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS.C
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo
8 Positions
Application Period
01/12/2025 - 14/12/2025
Duties and Responsibilities
- i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- ii. Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;
- iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- vi. Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
- ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS.C
Interested in this job?
14 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job
