Nafasi za Kazi 28 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Job Role Insights
-
Date posted
2026-03-24
-
Closing date
2026-04-04
-
Hiring location
Dar es Salaam
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Degree Diploma Secondary Education Vocational / Technical
-
Experience
1 - 2 Years
-
Quantity
10 person
-
Gender
both
-
Job ID
129563
Job Description
The Ministry of Education, Science, Technology and Vocational Training is a ministry of the Tanzanian government. It is responsible for the provision of education, vocational training and policy on science and technology.
The total number of job posts listed here for the Ministry of Education, Science and Technology (Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia) is 28 posts in March 2026.
| Job Title | Posts |
| Assistant Community Development Instructor II (Welding and Metal Fabrication) | 13 |
| Assistant Community Development Instructor II (Tailoring and Fashion Design) | 10 |
| Assistant Community Development Instructor II (Food Production) | 5 |
| TOTAL POSTS | 28 |
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UANDAAJI WA CHAKULA (FOOD PRODUCTION)
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
5 Positions
Application Period
22/03/2026 - 04/04/2026
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam; vii. Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali;
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya ‘’Food Production’’ kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS C
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – USHONAJI NA UBUNIFU WA MITINDO (TAILORING AND FASHION DESIGN)
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
10 Positions
Application Period
22/03/2026 - 04/04/2026
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; v. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam; vii. Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya ushonaji na ubunifu mitindo (Tailoring and Fashion Design) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
Remuneration
TGS C
MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II – UCHOMELEAJI NA UTENGENEZAJI WA VYUMA (WELDING AND METAL FABRICATION)
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
13 Positions
Application Period
22/03/2026 - 04/04/2026
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo;
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo; iv. Kutunza vifaa vya kufundishia;
- Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam;
- Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni;
- Kutunga na kusahihisha mitihani; ix. Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya Uchomeleaji na Utengenezaji wa Vyuma (Welding and Metal Fabrication) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS C
Interested in this job?
11 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job
Generate Cover Letter
Login as a candidate to generate a free AI cover letter for this job
