Nafasi za Kazi 321 MDAs & LGAs Tanzania

Job Role Insights

  • Date posted

    2025-12-11

  • Closing date

    2025-12-23

  • Hiring location

    Tanzania

  • Qualification

    Bachelor Degree Degree Diploma Master’s Degree Secondary Education Undergraduate Degree Vocational / Technical

  • Experience

    1 - 2 Years

  • Quantity

    10 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    126154

Job Description

MDAs & LGAs is Tanzania's central government bodies (Ministries, Departments, Agencies) and Local Government Authorities, working together to implement national policies and deliver essential public services at the local level, a key part of Tanzania's public administration and development structure.

The total number of job posts listed here for the MDAs & LGAs (Government Ministries, Departments, Agencies & Local Government Authorities) is 321 posts in December 2025.

Job TitlePosts
1.0 ICT Officer II (Programmer) (AFISA TEHAMA Il (PROGRAMMER))40
2.0 Radiography Technologist II - Radiology (MTEKNOLOJIA WA RADIOGRAFA DARAJA Il - RADIOLOJIA)70
3.0 Technologist - Optometrist II (MTEKNOLOJIA WA MACHO DARAJA II)20
4.0 Dental Technologist II (MTEKNOLOJIA WA MENO DARAJA li)10
5.0 ICT Officer II (System Administrator) (AFISA TEHAMA li (SYSTEM ADMINISTRATOR))40
6.0 ICT Officer II - System Analyst (AFISA TEHAMA Il - FANI YA UCHAMBUZI WA MIFUMO YA TEHAMA)30
7.0 ICT Officer II - System Security (AFISA TEHAMA II - FANI YA USALAMA WA MIFUMO YA TEHAMA)30
8.0 ICT Officer II - Network Administrator (AFISA TEHAMA Il - FANI YA USIMAMIZI WA MITANDAO YA TEHAMA)40
9.0 ICT Officer II (Data Base Administrator) (AFISA TEHAMA II (DATA BASE ADMINISTRATOR))40
10.0 Kitchen Attendant II (MHUDUMU WA JIKONI DARAJA LA II)1
TOTAL POSTS321

1.0 AFISA TEHAMA Il (PROGRAMMER) - 40 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuandaa, kuandika na kufanya majaribio ya programu (Plan, code and test program);
  • Kusahihisha programu (Debug program);
  • Kuweka na kuhakikisha usalama wa programu (Incorporate security setting into program);
  • Kushirikiana na wadau wengine katika kutengeneza programu mbalimbali (Corporate with other software developers); na
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkubwa wake wa kazi zinayoendana na sifa na fani yake.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS E

2.0 MTEKNOLOJIA WA RADIOGRAFA DARAJA Il - RADIOLOJIA (RADIOGRAPHY TECHNOLOGIST Il - RADIOLOGY) - 70 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuwapima wagonjwa wanaolekezwa kwenye eneo lake la kazi.
  • Kutunza mitambo na vifaa vya Radiolojia katika eneo lake la kazi.
  • Kukagua picha za X-Ray zilizopimwa kwa ubora na kutosheleza (diagnostic guality).
  • Kutunza picha za wagonjwa hadi majibu yanapowafikia madaktari waliowatuma wagonjwa.
  • Kusimamia watumishi walio chini yake.
  • Kutoa Ushauri kuhusu masuala ya na kazi za Radiolojia na Mionzi katika eneo lake la kazi.
  • Kuandaa vifaa vya tiba/uchunguzi na kusimamia utakasaji vifaa katika eneo lake la kazi (sterilization).
  • Kutoa mafunzo ya awali kwa watumishi wanaopangiwa kazi katika eneo lake la kazi.
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Sifa za Mwombaji:

Kuajiriwa wenye Stashahada katika fani ya Uteknolojia wa Radiolojia kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, ambao wamesajiliwa na Baraza la Waatalum wa Mionzi Tanzania.

Ngazi ya Mshahara:

TGTS-B

3.0 MTEKNOLOJIA WA MACHO DARAJA II (TECHNOLOGIST - OPTOMETRIST II) - 20 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kufanya uchunguzi wa upeo wa kuona na kutibu
  • Kurufaa wagonjwa kwenye ngazi za juu, zinazohitaji utaalamu zaidi
  • Kutoa ushauri nasaha
  • Kutunza na kurekebisha uharibifu wa vifaa vya macho
  • Kutengeneza miwani na kurekebisha miwani aina zote
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Sifa za Mwombaji:

Kuajiriwa wenye Stashahada katika fani ya Uteknolojia wa Macho kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, ambao wamesajiliwa na Baraza la Wataalam Macho.

Ngazi ya Mshahara:

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara y

4.0 MTEKNOLOJIA WA MENO DARAJA li (DENTAL TECHNOLOGIST II) - 10 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuchukua vipimo vya meno ya wagonjwa na kuvifanyia kazi;
  • Kutunza mashine na vifaa vya matibabu na vifaa vya maabara ya meno;
  • Kutunza kumbukumbu za wagonjwa wanaokuja kwa ajili ya matatizo ya meno;
  • Kubuni na kutengeneza meno ya bandia na viungo bandia vya taya; na
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

Sifa za Mwombaji:

Kuajiriwa wenye Stashahada katika fani ya Uteknolojia wa Meno kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, ambao wamesajiliwa na Baraza la Wataalam wa Afya ya Kinywa na Meno.

Ngazi ya Mshahara:

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara y

5.0 AFISA TEHAMA li (SYSTEM ADMINISTRATOR) - 40 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuboresha, kusimamiana, kufuatiliaji na kusimamia changamoto za hifadhi data.
  • Kusimamia usalama wa hifadhi data, udhibiti wa uadilifu, kumbukumbu na nyaraka muhimu.
  • Kusimamia matengenezo, chelezo(data backup), kupima na kurejesha mifumo na hifadhi data
  • Kuhakikisha upatikanaji wa mifumo na huduma za hifadhi data.
  • Kusakinisha na kutengeneza miundo ya hifadhi data.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS.E

6.0 AFISA TEHAMA Il - FANI YA UCHAMBUZI WA MIFUMO YA TEHAMA (SYSTEM ANALYSIT) - 30 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuboresha, kusimamiana, kufuatiliaji na kusimamia changamoto za hifadhi data.
  • Kusimamia usalama wa hifadhi data, udhibiti wa uadilifu, kumbukumbu na nyaraka muhimu.
  • Kusimamia matengenezo, chelezo(data backup), kupima na kurejesha mifumo na hifadhi data
  • Kuhakikisha upatikanaji wa mifumo na huduma za hifadhi data.
  • Kusakinisha na kutengeneza miundo ya hifadhi data.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS.E

7.0 AFISA TEHAMA II - FANI YA USALAMA WA MIFUMO YA TEHAMA (SYSTEM SECURITY) - 30 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuboresha, kusimamiana, kufuatiliaji na kusimamia changamoto za hifadhi data.
  • Kusimamia usalama wa hifadhi data, udhibiti wa uadilifu, kumbukumbu na nyaraka muhimu.
  • Kusimamia matengenezo, chelezo(data backup), kupima na kurejesha mifumo na hifadhi data
  • Kuhakikisha upatikanaji wa mifumo na huduma za hifadhi data.
  • Kusakinisha na kutengeneza miundo ya hifadhi data.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS.E

8.0 AFISA TEHAMA Il - FANI YA USIMAMIZI WA MITANDAO YA TEHAMA (NETWORK ADIMINISTRATOR) - 40 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuboresha, kusimamiana, kufuatiliaji na kusimamia changamoto za hifadhi data.
  • Kusimamia usalama wa hifadhi data, udhibiti wa uadilifu, kumbukumbu na nyaraka muhimu.
  • Kusimamia matengenezo, chelezo(data backup), kupima na kurejesha mifumo na hifadhi data
  • Kuhakikisha upatikanaji wa mifumo na huduma za hifadhi data.
  • Kusakinisha na kutengeneza miundo ya hifadhi data.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS.E

9.0 AFISA TEHAMA II (DATA BASE ADMINISTRATOR) - 40 Posts

Majukumu ya Kazi:

  • Kuboresha, kusimamiana, kufuatiliaji na kusimamia changamoto za hifadhi data.
  • Kusimamia usalama wa hifadhi data, udhibiti wa uadilifu, kumbukumbu na nyaraka muhimu.
  • Kusimamia matengenezo, chelezo(data backup), kupima na kurejesha mifumo na hifadhi data
  • Kuhakikisha upatikanaji wa mifumo na huduma za hifadhi data.
  • Kusakinisha na kutengeneza miundo ya hifadhi data.

Sifa za Mwombaji:

Mhitimu wa Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta, Sayansi ya Kompyuta, Elektroniki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii.

Ngazi ya Mshahara:

TGS.E

10.0 MHUDUMU WA JIKONI DARAJA LA II (KITCHEN ATTENDANT II) - 1 Post

Majukumu ya Kazi:

  • Kusafisha vyombo vya kupikia
  • Kusafisha Vyombo vya kulia chakula
  • Kuwatayarisha wapishi/Waandazi vifaa vya mpishi na meza
  • Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia
  • Kuwasaidia wandazi na wapishi.

Sifa za Mwombaji:

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne na cheti cha mafunzo ya uhudumu wa jikoni kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

Ngazi ya Mshahara:

TGSA

Interested in this job?

11 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now
Send message
Cancel