Nahodha Daraja la II (Skipper) 2 Posts at Mafia District Council
Job Role Insights
-
Date posted
2026-07-30
-
Closing date
2026-08-12
-
Hiring location
Pwani
-
Career level
Middle
-
Qualification
Bachelor Degree Vocational / Technical
-
Experience
2 Years
-
Quantity
1 person
-
Gender
both
-
Job ID
139722
Job Description
The Mafia District Council is a local government authority in Tanzania that administers Mafia Island and its surrounding smaller islands within the Pwani Region.
NAHODHA DARAJA LA II (SKIPPER)
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia
2 Positions
Application Period
31/07/2026 - 12/08/2026
Duties and Responsibilities
- Kuendesha boti ya doria;
- Kubuni, kutengeneza na kutunza zana za kuvulia samaki (Fishing Gears);
- Kuongoza na kuendesha boti/meli ndogo zenye urefu wa futi 40 na uzito wa kuandikishwa wa tani 50 – 100 “Gross Tonnage (GRT)”;
- Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli; Kushiriki katika kuendesha doria za baharini na nchi kavu, na Doria za EEZ;
- Kusoma taarifa za VMS na kuziwasilisha kwa Mkuu wa kituo kila siku, wiki, mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka;
- Kukamata wahalifu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi;
- Kusaidia kutunza Kumbukumbu zote za matumizi ya mafuta katika vyombo vya doria;
- Kusaidia kuandaa ratiba ya kufanya matengenezo na “service” ya vyombo vyote vya doria (service schedule);
- Kutekeleza majukumu yote ya kikosi kama yalivyoainishwa katika Kifungu cha 32 cha Sheria ya Uvuvi na. 22 ya mwaka 2003; na
- Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma NTA – level 6) ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (Fisheries Education and Training Agency – FETA) au sifa inayolingana na hiyo kutoka vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
Remuneration
TGS C
Interested in this job?
13 days left to apply
