 
                        POST: MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST
Job Role Insights
- 
					Date posted 2025-07-08 
- 
					Closing date 2025-07-22 
- 
					Hiring location Dar es Salaam 
- 
					Career level Middle 
- 
					Qualification Certificate Degree Diploma High School Certificate O-Level Secondary Education Vocational / Technical 
- 
					Experience 1 - 2 Years 
- 
					Quantity 5 person 
- 
					Gender both 
- 
				Job ID 119710 
Job Description
POST: MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II - 5 POST
EMPLOYER: Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
APPLICATION TIMELINE:: 2025-07-08 2025-07-22
JOB SUMMARY: N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri
- Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika
- Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi
- na ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION: TGS.C
Interested in this job?
This job has expired
Share this opportunity
Help others find their dream job

 
                        
                       