Taarifa rasmi ya Kuitwa Kazini imetolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, ikiwa ni hatua muhimu kwa waombaji waliofanya usaili kuanzia tarehe 18 January 2025 hadi tarehe 14 Februari 2026. Orodha hii inathibitisha majina ya waombaji waliofaulu usaili huo, na inajumuisha pia wasailiwa waliokuwa kwenye kazidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao sasa wamepangiwa vituo vya kazi kufuatia kupatikana kwa nafasi mpya serikalini.
TABLE OF CONTENTS
Target Applicants
All job applicants who completed their interviews between January 18, 2025, and February 14, 2026, including candidates from the Database who have now been allocated to their respective workstations.
How to Get Your Letter
Log into your Ajira Portal account, go directly to the My Applications section, and make sure to Download and Print your official placement letter.
Reporting Instructions
You are required to report to your new employer strictly within the timeframe specified in your Kuitwa Kazini placement letter.
Required Documents
You must bring your Original Certificates for all studies from Form Four onwards so the employer can verify them before issuing your final employment letter.
Unsuccessful Candidates
If your name does not appear in this announcement, you did not pass the interview. You are encouraged to keep applying for new job vacancies when they are announced.
Majina ya Walioitwa Kazini
Find out if you have been called for employment by browsing the official February 2026 UTUMISHI job allocation list below.








