Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs March 2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, MDAs & LGAs Idara zinazojitegemea na Mamlaka za Serikali za Mitaa, anawataarifu waombaji kazi wote kuwa mchakato wa usaili umepangwa kufanyika kuanzia tarehe 27 Machi, 2026 hadi tarehe 17 Aprili, 2026. Lengo la usaili huu ni kupata watakaofaulu ili kuwapangia vituo vya […]
