Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma 11-01-2026

Job Role Insights

  • Date posted

    2026-01-12

  • Closing date

    2026-01-25

  • Hiring location

    Tanzania

  • Quantity

    10 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    126828

Job Description

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 14-01-2025 na tarehe 22-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

MAAGIZO KWA WALIOFAULU

Upatikanaji wa Barua: Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi, barua zao zinapatikana kupitia akaunti zao za Ajira Portal kwenye sehemu ya My Applications. Waombaji wanapaswa kupakua na kutoa nakala (Download and Print) barua hizo na kwenda nazo kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa.

Kuripoti na Uhakiki wa Vyeti: Waombaji kazi waliofaulu wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ulioainishwa kwenye barua zao. Ni lazima wafike wakiwa na vyeti halisi (Original Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua rasmi ya Ajira.

UJUMBE KWA AMBAO MAJINA HAYAKUTOKA

Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi au hawakufaulu usaili. Hivyo, wanashauriwa wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapo tangazwa.

View the full list here

13 days left to report

View Names

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

View Names
Send message
Cancel