Nafasi za Kazi 2 Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar

Job Role Insights

  • Date posted

    2026-07-01

  • Closing date

    2026-07-14

  • Hiring location

    Zanzibar

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree Diploma

  • Experience

    2 Years

  • Quantity

    1 person

  • Gender

    both

  • Job ID

    136747

Job Description

The total number of job posts listed here for the Public Service Commission (Kamisheni ya Utumishi wa Umma) is 2 posts in July 2026.

Job TitlePosts
Afisa Kumbukumbu Msaidizi Daraja la III (Assistant Records Officer Grade III)2
TOTAL POSTS2

KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA

Vacancies: 1  |  Latest closing: Jul 14, 2026 Apply

Afisa Kumbukumbu Msaidizi Daraja la III-UNGUJA

Posts: 2  |  Closing: Jul 14, 2026 Apply  |  Period: 30/06/2026 - 14/07/2026  |  Scale: ZPSG-02

Duties and Responsibilities

  • Majukumu
  • Kutunza mafaili na kumbukumbu zote za Taasisi.
  • Kupokea na kurikodi nyaraka za ndani na nje ya Taasisi.
  • Kusaidia katika kutunza na kuhifadhi nyaraka za ndani na nje ya Taasisi.
  • Kuhakikisha mafaili yanawekwa katika sehemu husika.
  • Kuchambua na kuorodhesha mafaili katika buku la kumbukumbu.
  • Kupokea na kutunza taarifaza wafanyakazi wa Taasisi.
  • Kushughulikia maombi kutoka Taasisi nyengine za Serikali.
  • Kudhibiti mifumo ya kumbukumbu.
  • Kutunza siri zinazohusiana na utendaji kazi wa ndani na nje ya Taasisi.
  • Kuandika ripoti za utekelezaji wa kazi za kila siku.
  • Kufanya kazi nyengine kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Awe Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 46

Awe amehitimu Stashahada (diploma) katika fani ya Usimamizi wa Kumbukumbu na Nyaraka kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Asiwe muajiriwa wa Serikali ya SMZ/SMT

Apply for this position

Interested in this job?

13 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

JobChat JobChat AI Here to help with this job
How can I help you with Nafasi za Kazi 2 Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar?

Powered by JobChat

How to Apply

Apply now