Kuitwa Kazini
Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma 01-07-2026
Kumb. Na. JA. 9/18/01 “E”/19 01/07/2026 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-07-2025 na tarehe 09-06-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha […]
